|

WEMA SEPETU:Mbwa ndio wanao nipa faraja kubwa sana


Wema Sepetu ‘Madam’ amefunguka kuwa hakuna kitu kinachompa faraja kubwa kama mbwa wake, Ivan na Gucci.
Wema alisema hawezi kukaa zaidi ya siku tatu bila kuwaona mbwa wake hao kwani amewazoea kwa kuwa humuondolea ‘stress’ za hapa na pale.

“Juzikati nilikwenda Arusha mara moja tu siku hiyohiyo nikawa nawakumbuka Ivan na Gucci mpaka nikawa natamani kurudi kwa ajili yao, kusema kweli hawa ndiyo kila kitu kwangu,” alisema Wema na…

Posted by Unknown on 7:26 AM. Filed under , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0. Feel free to leave a response

0 comments for "WEMA SEPETU:Mbwa ndio wanao nipa faraja kubwa sana"

Leave a reply