|

Hivi ndivyo TID (TOP BAND) alivyoshambuliwa na watu Facebook baada kujitoa Show ya Lady Jay Dee


three reason why i cant do lady JIDE SHOW .............No.1 i have better contract pays me better than.No.2 i really dont want to be between anybodys conflict ya kwangu yananishinda naona nieupushe shari...No.3 nataka kuoa muda wangu ndo huu ...............kama nimekukosea captein na madame kazeni but i have been thru same shit.........



  • Edwin Masobeji and 55 others like this.
  • Eliezer Mmbaga Basi sawa....
    4 hours ago via mobile · Like
  • Obyjr Byeyombo Obyemarila Duh mnyama hawi ivyo bana, why ulikubali mara ya kwanza haukufikiria haya uliyo uasema leo? Na je umeshaongea na jide kabla haujandika hapa? Maana kama haujaongea nae akisikia au kuona hapa lengo lako halitatimia
    4 hours ago via mobile · Like · 1
  • Young Ticha honest will set you free, big up mnyama kwa kuwa mkweli, wasanii wengine wanangata na kupuliza
    4 hours ago via mobile · Like
  • Gregory Fallu you so wise..
    safi saaaana..
    keep it real mnyamaaaa..
    4 hours ago via mobile · Like
  • Ramiya Salim 2mekuelewa mzaz wanyamaaaaaaaaaaaa
    4 hours ago via mobile · Like
  • Lucas Msafiri hahahaha kweli hawa jamaa wana nguvu tukumbuke wewe siku sio nyingi uliomba msamaha mpaka ukalilia show za hawa jamaa na wakakupa show moja kubwa tu inayofanyika kila mwaka,kwahiyo mimi sioni ajabu ya kukataa wanamuziki wenyewe then njaa zenu zinawaponza
    4 hours ago · Like · 2
  • Mosh Kawau nimekuelewa ila imenisikitisha sana! ila big up kwa kuwa mkweli.
    4 hours ago via mobile · Like
  • Gerald Mges David Umeishiwa busara, u should've taken it with Jide herself, looking for public sympathy wont help you! Jipange acha kutumika!
    4 hours ago · Edited · Like · 6
  • Mark Mboyi Thts some fucked up shit.......
    4 hours ago · Like · 1
  • Mgaya Frank Oooh! Top i can't believe ths shiit,au kuna mtu amehack account yako,bora ungeandika ile reason ya kwanza tu..
    4 hours ago via mobile · Like · 1
  • Adnan S.hazaa Arbeinga kweli we unafata dini inavyotaka...to be honest and faithfull without backbitting....A.alaykum
    4 hours ago via mobile · Like
  • Kino Native mzee mnyama umeonyesha uwoga snaa.! Yan umekuwa kama Underground unataka kutoka...sababu zako ni pumba 2pu...!!
    4 hours ago via mobile · Like · 5
  • Innocent R. Massawe unaoa leo mbona kama umechelewa jipange
  • Ngai'son Senior Second reason uloitoa haileti maana.umoja wa wasanii hauwezekani TZ mmegawanywa na clouds media
    4 hours ago · Like · 4
  • Silas Geoffrey Temu Huna lolote wewe!! Ruge kakushika masikio.....eti umepata deal inayolipa zaidi ulipokubali kushiriki show ya lady J Dee ulikuwa umeshikiwa bastola??? Hiyo Harusi Clouds ndiyo wanakulipia mahari?? umefilisika kiakili wewe
    4 hours ago · Like · 5
  • Inteligence King Manyota we tid ni msenge sana we unafikiri hatujui luge na jose kusga ndo sababu ss hata usipoenda kwanza now umefulia so tid uliekuwa umezoeleka huna jipya
    4 hours ago · Like · 5
  • Abbas Tipy Bro the decision tht u have just made is unfair & inhuman as well.kwani ulipokubali kufny show na Jde didn't u know tht there was conflict?
    4 hours ago via mobile · Like · 1
  • Silas Geoffrey Temu Hana lolote huyu TID zaidi ya kukata mauno kwenye stage!
  • Meena Brilliant Kika Would have been more wise if u said it to jide herself..!!not public,uyasemayo hayatupi faida yeyote zaidi ya midomo kuongeza maneno yasio na maana,good luck with the wedding
    4 hours ago via mobile · Like · 8
  • Abbas Amir jembe....nakukubal sna.
    4 hours ago via mobile · Like · 1
  • Mgaya Frank Matusi ya nini Manyota,kama alichokifanya sio sawa,mwambie tu kwa hali ya kawaida
    4 hours ago via mobile · Like · 1
  • Larrybway Bankroller NIDHAMU YA UOGA alafu eti! UNAJIITA MNYAMA, kama ningepewa nafasi ww ningekuweka kundi la DONKEY ..WASANII BONGO HAMNA UMOJA,..kumbe mbwembwe zote za bure... Tid Topband
    4 hours ago · Edited · Like · 5
  • Silas Geoffrey Temu Halafu unijiita eti Myama..... wewe siyo mjama ila ni sisimizi
    4 hours ago · Like · 3
  • Obyjr Byeyombo Obyemarila Ndio mnataka mjikomboe! Mtaendelea kuburuzwa na kuwa na maisha ya kudandia hadi mnaingia kaburini
    4 hours ago via mobile · Like · 3
  • Kino Native moYO wako unajua ukweli TID...!!
    Sa mwanaume unataka kuoa afa hAuna MSIMAMO..!? Bwege kweli..!
    4 hours ago via mobile · Like · 4
  • Abraham Onesmo mnyama kigogo,uko true bt usiogope sana u just go and show your love&respect to them,leo kwao kesho kwako nao watakuja.unaowaogopa leo jua kesho watakusaliti kama wakongwe wenzio wanavyosalitiwa sasa.may b your next.
    3 hours ago via mobile · Like · 1
  • Tingatinga Painter True friend it's the one who always stand for truth. Big up man
    3 hours ago via mobile · Like · 1
  • Da'masar Mylor hatuwez kuwa sawa kimtazmo..xoo mnyama kafanya yake..cio mbaya kafunguka kinyama...
    3 hours ago · Like · 4
  • Fabian Mpunza hawa si ndio hawakupi show za fiesta mikoani
  • Silas Geoffrey Temu Labda kahongwa DJ Fetty
  • Somewell Mbaule Bro hujui usemalo.
    3 hours ago via mobile · Like
  • Gee Bugatty huyo ndio MNYAMA MWENYEWE...!!! DIH!! NomaKweli!! Sasa huyu sijui ni mnyama gani ?? Sijui Swala Punda maana hao ndio Wanyama waoga kama nini..!!
    3 hours ago · Like · 1
  • Ephraim Wisso IDIOT! publicity??? Why?? Defencive?? Be urself! aka hayatuhusu TELL HER NOT US!!
    3 hours ago via mobile · Like · 1
  • Shane SK Filan Derulo kwenda zako huko dume zima linazidiwa akil na mwanamke..then myama,mnyama?mnyama utakuw wew?hebu nitokee huko.
    3 hours ago via mobile · Like · 1
  • Erick Edith ErrSon Yo so Gaysh man.
    3 hours ago via mobile · Like
  • Botion Btoz Top umezingua really yan nyiee ndioo wakongwee wenyeweee
    3 hours ago via mobile · Like
  • Ephraim Wisso Coward!!*****
    3 hours ago via mobile · Like
  • Man X Kushaba unge kaa kimya tumia akili man hapo unamaanisha nn kwa raia sio poa ndo maana hatufiki mbali! mashabiki jueni kuwa hatufanyi vya moyoni mwetu na hatujajiajili ila tumeajiliwa huu ni upumbavu kumuanika mwezio ni utumwa bila wwe jide atafanya kaz nakutakia ndoa njema
    3 hours ago via mobile · Like
  • Ephraim Wisso Unajiita mnyamaas*** acha kuwadharirisha wanyama ww! They are not coward like u!!
    3 hours ago via mobile · Like · 1
  • K-sim Rydh TiD fikiria mmetoka wapi we na Jide, all dat ddnt mean anythng kisa ypo kwnye mattizo unam2pa mwnzko?? Dat nt manHood m2 wngu, nyimbo zko zenywe hazpigwi clouds kma dat wat u wnt, fikiria hw u guyz mlivyopitia bck in tym mpka mmefka dis state mnaitwa legend. dah... wat goz around comez around u wl nid ha help as she nid urz 1day. 
    GO straight 2 da point NXT TYM UNAPATA DHAMBI ZA KUJITAKIA.
    Ijumaa Kareem
    3 hours ago via mobile · Like · 3
  • Bambina Guardiola crap,did u seriously tink bfo writtn this!?but did she even ask u to do any of her shows,and if so why writting on facebook then?
    3 hours ago via mobile · Like
  • Joseph Mbalamwezi Dah! Hivi wewe ndo unajiita mnyama?? Mnyama gani mwoga kama kenge huna lolote boya wewee nilikua nakuheshimu sana ila kwa hili la kumwogopa fisadi ruge nimekudharau saana... Poor TID
    3 hours ago via mobile · Like · 2
  • Sadicque Ally Wewe ni bonge la snitch jembe gani wewe.... Km ni mnyama ww utakua fisi
    3 hours ago via mobile · Like · 1
  • Lulu Van Chris Chicharito remove this status....for ur own publicity!
    3 hours ago via mobile · Like · 3
  • Mark Mboyi First it was Kili Awards Now its Jayde Denmmmm Dog get your Shit Together..........
  • Young Bwax Di!!! Noma kweri, Me nadhani kwanza Tid hauko sawa kabisa, wakati unahadika msg hii kwa jamii me natambuwa mchango wako katika muziki huu wa kizazi kipya.kwanza umejishusha samani kwa mashabiki wako kwa hawana himani na ww hilo utambuwe,eti unacontract better than Jide sasa ulikubari nn jina lako liwepo kwny ratiba hata wachina wenywe wanasema sisawaaaa.jipange mnyama usiwe popooo kwny maisha umoja ni nguvu utegano ni zahifu
    3 hours ago · Like · 1
  • Monica Roy TeamKomando kweli wewe nyoka eti mnyama kuna siku yako itafika sasa Jide atafanya show na itafanikiwa bila wewe alafu alafu mashabiki wako lazima wamekudharau sana wakati ukikubali na ukaganya matangazo kwamba utakuwepo kwenye show ulikua huyajui ayo acha usister duu ur a man futa uchafu wako una kudhalilisha mwenyewe Komandoo still strong
    3 hours ago via mobile · Like · 6
  • Wenceslous Lucas Sikulaumu kwn uwezo wa mziki unashuka,uwezo wakufikiria ulishaisha ndo mana umepost pumba...lbd ulidhan fans zko watakusifia wkt wao sio wajinga na akili. Mbovu km hizi..utakuja kujutia hiki ulichopost na hutakua na wakumlaumu pale utakapokimbiwa na fans zko na ukaporomoka kabisa kimziki..mnyama kunguru!!
    3 hours ago via mobile · Like · 7
  • Hery Rajab Mata tuseme pesa ina nguvu kuliko utu?lol kama mnyama ww fisi
    3 hours ago via mobile · Like · 7
  • Godwin Gola Pole mzee mimi nilikuwa nakukubali ila nishaona we hujielewiii basi kila la kheri na huu Msimu watajulikana wasaniii wote wasiojielewa... Kaka naona Omega yako ki mziki hiyo inapiga Hodi
    3 hours ago · Like · 2
  • Gery Restiee Marley hata bila wewe show itafanyika na ita bamba usijione star kivile.. umeboa ijumaa ya leo bila kujua zamu yako yaja utaanza kuimbia viti wewe kwnye shw zako.
    3 hours ago via mobile · Like · 2
  • Mfaume Dizzle Salim mkundu tu huna lolote..
    3 hours ago via mobile · Like · 2
  • Vosty Kaimenyi wewe ni mzito,siwezi lalama ukiringa najua ulikotoka!!
  • Samson Chape TID kumbuka umoja ni nguvu pia tambua uko kwenye game kitambo sn yan pamoja na JIDE 2mia ukubwa wako ktk matatzo km haya
    3 hours ago via mobile · Like
  • Boom Ima Malle kwan we nan bana .....jide toboa mishe anaanjaa tu anaogopa atakosa ela ya kula badae kwny show za kila mwaka we manaume unaogopa nn sas we ni mnyama au mdudu
    3 hours ago via mobile · Like · 2
  • Suma Bzness Don bg up tid unajua unachokfanya
    3 hours ago via mobile · Like
  • Richard Saiya Wewe jamaa kweli bwege kumamamae
    3 hours ago via mobile · Like · 3
  • Msanga Sam Kibiriti Mental slavery!!! Hadi lini.,.???
    3 hours ago via mobile · Like · 4
  • Justin Van Chendi u mess up!
    3 hours ago via mobile · Like
  • Scooby Askari Wa Miguu Nigga thus gayish;nimekuvua vyeo vyote aisee...#NoLie dat not how ts suppose tobe...
    3 hours ago via mobile · Like · 7
  • Jacko Mkufya #Mnyama gani anayeshindwa kusimama 4 his right?kama ni mnyama basi mbwa koko,Mnyama Anaconda still yupo pori akija town basi kazi imeisha!F"""ck u TID
    3 hours ago · Like · 5
  • Mwanamgeni Ally Umefanya ki2 poa sana Tid how MNYAMA anafaa kuwa
    3 hours ago via mobile · Like
  • 3 hours ago via mobile · Like
  • Gabriel Moshi Kweli kijana umechapia kinoma ivi unaweza kushindana na jide hata robo hufiki jifikirie vzr wewe sio mnyama ni nyama
    3 hours ago via mobile · Like · 2
  • Hellen Chris mdudu tena funza
    3 hours ago via mobile · Like
  • Faiza Ally Fanya yako - your good Achana na hao wanaojisemea yeye jide alimsaidia nani? Mbona hakumsaidia sugu na bide alie Mtoa kwenye nyimbo yake Kwa Mara ya kwanza ? Kwani hakuna wasanii waliowahi kupata matatizo? Yeye jide aliwahi kumpa Msaada nani? Mimi naamini we Mkali Achana nao hai wanao jifanya wanajua zaidi na game la bongo wanajisemea wapotezee your good brother mimi mama Sasha a.k.a mama sugu lol
    3 hours ago via mobile · Edited · Like · 1
  • Juma Halfani My brother even you u get something from ruge dont be sneech remember u and jide long time in the fun
    3 hours ago via mobile · Like
  • Fazo Habibu Hoooooooooooooopx?????
    3 hours ago via mobile · Like
  • Sulayman Ahmed Unamuogopa ruge ww nshakustukia
    3 hours ago via mobile · Like · 1
  • Ammy Cool Kweli wewe sio Mnyama ni Kamdudu. Unaacha kufanya kazi yako upate ridhki unamuogopa Ruge. Mziki ni kazi yako wew fanya show si unalipwa.hta uyo Ruge analijua ilo. Acha uoga kamanda mtaonewa mpka lini. Wew msanii mkubwa ilibidi upiganie haki zenu na wadogo zako wanaokuja.
    3 hours ago · Like · 5
  • Mohammed Bege DAH NYIE WTU NI WANAEKI ADI MNYAMA ANAMUOGOPA BINADAMU lahaulaaaaaaaaaaa.we mdudu tu
    3 hours ago · Like · 1
  • David Johson'Big Dady' Unafail Jembe support jide sio issue ! Jus do yo thing act Professinal perform then move on n let jide handle her busness wit watever she gat goin on wit whoever ... Tid Topband
    2 hours ago via mobile · Like
  • Monica Roy TeamKomando uyo ni kunguru @Mohammed Bege
    2 hours ago via mobile · Like
  • Steven Mwakamele www ni mnyama ila ni digdig
    2 hours ago via mobile · Like · 1
  • Siza Ally Ngowo TID@Asalaam Alaykum!
    Huu ujumbe dizaini ni kwa Captain na Madame, so nashauri,sehemu nzuri ya kuufikisha kwa ustaarabu,ni wewe kuwatafuta na kuwaeleza hayo wahusika,,kutumia Fb kufikisha ujumbe huu is nonesense,labda kuwe kuna lingine between ur lines! Samahani lakini!
    2 hours ago via mobile · Like · 1
  • Eras Rweyemamu Ha ha si ulishafanya kollabo na jay d ww
    2 hours ago via mobile · Like · 1
  • Tickey Lighton Kama pimbi vile...Uepushe shari gani sasa? Juyo Ruge mme wenu ama? Sa kumsapot mkongwe mwenzio inakua tabu jmn. Sababu zako ulizotoa hazna mashiko hata kdg. Na ipo cku Ruge atawaambia uclale home nakuja kulala na mkeo, utakubali..maana c mnatumikia kafir ili mzk wenu uende!? Mmmxxpyyyy
    2 hours ago via mobile · Like
  • Jimmy Mussa hata kama una contract that pays yo a lot usidharu kidogo ipo siku utatamani hata upewe hicho kidogo no.2 when yo help someone in diffuclt/trouble moments ows yo a lot in his/her life rem dat homie,..so my brothr its hard for em today but hu knows tomorrw,..nobody,...malipo ni hapa hap duniani bro,.i jst suggest show love,.evn us yo fans we get encourged and love yo mo from the love&consideration u show among yoselvez,..
  • Martine Van Geofrey siza mbona jide alitumia fb na twiter kufikisha ujumbe kwa ruge?mnyama kakosea pia maana nature na prof jay watakuwepo so nao wanabifu na ruge?
    2 hours ago via mobile · Like
  • Mataturu Hamis Mara yangu ya kwanza kufikiria kutokua mshabiki wako leo, Better ungekaa kimia
  • Silver Edzalay ni maamuz na msimamo wa mtu!!coz miaka show ya miaka 13 ya jide bila Td inawezekana,,tuxihukum coz hatujui nyuma ya pazia kunan
    2 hours ago via mobile · Like
  • Michael Mathias Fanya hivyo kaka la sivyo hatutakusikia tena afu uangalie utamzingua na dogo wako countryboy umekua sasa, the enemy ov my enemy z my frnd msemo huo umekuhusu sana TID choose wisely and take gud part will benefit you...
    2 hours ago via mobile · Like
  • Silvanus Ilomo huyo si teja au hamlijui hilo...kwanza hata asipokuwepo hakuna kitakachoharibika...mnyama gani huyu labda Kobe!!
  • Ignatus Kajoro TID we ni mnyama NGUCHILO be a proffesional hakuna mtu atakaye zuia liziki yako.
    2 hours ago via mobile · Like · 1
  • Chrispine Charles KWA WASIO JUA LABDA HII KITU WATAONA LABDA TUNA MUANDAMA MNYAMA SIJUI NYAMA KAMA ANAVYO JIITA YEYE..KWANZA T.I.D UMEFULIA ILO LIKO WAZI NIME FATILIA INTERVIEWS ZAKO NYINGI TU KWENYE TV NA RADIO ATA THE WAY UNAVYO JI REPRESENT NI OVYO SO F*CK THAT ATA USIPO ENDA WATU WATA KUJA TU..NA WANA KUJA KWA JILI YAKU MUANGALIA JIDE NA HAPO ALIPO FIKIA NA SIO ETI OOOOO T.I.D NAE ATAKUEPO NO WAY....CLOUDS NA UONGOZI WAKE NA THT KWA UJUMLA NDIO WAME WAPIGA HAWA MKWARA WASI FANYE SHOW YA JIDE AKIWEMO BARNABA, LINAH PAMOJA NA MATONYA...NA KWA BAHATI NZURI WALI REKODIWA MWANZONI WAKI KIRI KUA WATAKUEPO KWENYE SHOW WOTE HAWA...TENA HUYU HUYU T.I.D ALISEMA ASIPIGIWE SIMU YUKO BOOKED...UMEFULIA MZAZI KWAIO BORA UNYENYEKEE ILI NGOMA ZAKO ZI PIGWE CLOUDS KWANZA HUENDA ZISI PIGWE...KWANI WIMBO WAKO WA RAHA UKO NA PROF.JAY SI MKALI MBONA HUPIGWI CLOUDS?...AYA NGOJA TUCHEKI NA PROF. JAY KAMA ATA TOSA SHOW..ILA NA JUA PROF . JEMBE HAWEZI KUKUBALI MABO KAMA HAYA KWANZA WATAANZAJE KUMCHIMBA MKWARA? jide is a hero bwana kama ana andaa show bila sponsors yeyote..leo hii eti mtu aje ku compete nae si uta deki bahari....
    2 hours ago · Like · 14
  • Peter DonieYen Wakujiresi-Vikali Kijanga B4 ya bifu lao c ulidai utakuepo kwenye hyo show.?,sasa swala la wewe kuoa na kupiga show ya Jide vinaingiliana vp.?,hamna cha mnyama wala nini.,we ni CHOKO 2 BRO kma MNYAMA BASI PUSI
    2 hours ago via mobile · Like · 8
  • JoyLee Cinderela Sonso, hata usipokuwepo itafanikiwa tu! Msheeeew
    2 hours ago via mobile · Edited · Like · 1
  • Jac Kamil Urio Same shit like how u r shit..hela ni hela man hata jero ni hela...u r smeling like gaga..!!
    2 hours ago via mobile · Like
  • Clemence Eliah sa cjui wakijapatana uitaangalianaje na gadna ama jide cjapenda broo
  • Allen Oscar Kidulani non sense bro
    2 hours ago · Like · 1
  • Asmine Clever mi naona umeyataka mwenyewe @t.i.d bora ungepiga kimya, yasemwayo yapo JIPANGE KAKA.
  • Edgar Njou Acha upumbavu wewe!!! Huoni Kama unachochea conflict baina yao kwa kikataa show ya commando we fanya kazi conflict hiyo conflict haikuhusu.... Hata huyo mke unaetaka kumuoa anajua kazi yako ni music sasa iweje Leo ujitoe fahamu kuwa huo ndo muda wako wakuoa..... Upo juu ya wapumbavu wenzako badala ya kujenga mnabomoa... Wewe na mwana FA akili zenu wote ni tope.... Ona mwana FA na yeye anafanya show same day na JIDE back up clouds fm.... Pumbavu kabisa
    2 hours ago via mobile · Like · 5
  • Abdillahi Hashim Mgomi Kuanzia leo top in da nikisikia nyimbo yako nazima redio
    2 hours ago via mobile · Like · 5
  • Hasmukh Solanki sorry dear i dont undstend
    2 hours ago via mobile · Like
  • Hussein Khassim tid i strongly believe on what jide said about RUGE but yur were not supposed to say this in public! piga kazi ruge is asshole mother fucker
    2 hours ago · Like · 2
  • Vivian Hance Unacontact huna hata hela ya cgara unaomba cigara club mjinga ww tafuta hela mbwa ww utaoa kenge?
    2 hours ago via mobile · Like · 5
  • Rodeo Obidience Rong Eyeluk that realy sound shit too TID..why this rats cant let you do wat u think you want to do,
  • Ickyboy Moh Kuanzia leo TID We ni mburulaz kati ya maMburula.
    2 hours ago via mobile · Like
  • Criss Rwega contract gni umechoka kama panya wa kanisani? endelea kula unga uongeze siku mjinga wewe@TID
    2 hours ago via mobile · Like · 2
  • Minja Bidam kwan jide alkuomba uende kwny show thru facebook,twitter/BBM? so iweje ww upatumie uku to spit ur f#cking shits ur nothing bt fool...JIPANGEN NYIE SO FAR HAMJIELEW W KUPGA SHOW NA CONFLICTS ZAO WAP NA WAP??UR JST A CUNT@TID
    2 hours ago via mobile · Like · 1
  • Ibra Mohamed Tid, u ful of shit mother fucker, ulikua proud way back bt nau u jst another addict hu cnt stop for a bit of dope hata kama u will ev 2 suck dick 2 earn it. xo fuck u bitch.
  • Jabir Jboog Noor I AM VERY DISSAPOINTED... si ni juzi tu tulikuwa pale kwa madame na mambo yalikuwa poa man wat has happend to u... yo my brother ila to this siungi mkono aisee... I NEVER EXPECTED THIS
    about an hour ago via mobile · Like · 2
  • Chrispine Charles HAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHAHahahahhahah Vivian Hance, Hussein Khassim, Edgar Njou, nice comments
  • Bwana Mushi Point 1 ni biashara, hata mimi ningechagua inapolipa. Point 2 ni uongo maana kumkatalia Jide tayari ushaingia ktk conflict na Jide na Kumkubalia, ushaingia conflict na Wafu. Point ya 3, ukitaka kuoa ndo huwezi imba na Jide? Mhh! Kwa ufupi, kaka rudi utueleze upya!
    about an hour ago · Edited · Like · 2
  • Da Silence Kibabe kumamamameeee hao wanaokuita mambulula wasenge tuuuuu.......coz una jicho la tatu...
  • Edgar Njou Pamoja sana chrispine Charles
  • Aisha Bwaki Kwel we mjinga wa mwisho asa kuoa na kwenda ktk shw vinauciana nini?kwel hujielewi tena hata hy mke unaetka kumuoa anakbl vp kuolewa na m2 acyjtmbua kama wewe.
  • Michael Hugo Jana tu nimetoka kuona tangazo lako kwenye kpnd cha Lady Jaydeez Diary ukiipamba kwelkwel hyo show, nilikukubali kweli nkasema hawa ndo wanatakiwa apa nchini ktk kuleta mapnduz dhd ya wanyonyaji, leo hii unaandka upuuzi huu TID, dah kweli umaskini na uoga ndio unaowarudisha nyuma wasanii wa tz, kiukweli TID hutoendelea kamwe kama ucpobadilika, kichwa maji mkubwa wewe.
    about an hour ago via mobile · Like · 2
  • Rais Wa Marais Tz watu walikua wanakusema eti we shoga! now nimeamini kweli bwabwa au kwa jina lingine pilau, awakukosea......TID UMEPOTEZA DIRA YANI WE FUNZA SIO MNYAMA TENA.
  • Cayth Chelsea Laurent sijaona strong reason bado we jingaaaa na utabaki hivo hivo,wasanii wa bongo kudharau hela wakat hata hyo mlokubaliana c ajabu hukua nayo mxxxxiiiiiiiuuuu go to hell
    about an hour ago via mobile · Like · 1
  • Chrispine Charles KWANZA T.I.D NA CLOUDS WAPI NA WAPI SHOW WANAKUNYIMA KILA SIKU NGOMA ZAKO HAWAZIPIGI...WALI KUONEA HURUMA BAADA YAKU LIA OOO MI SIPEWI SHOW SIKU IZI SIJUI NIME KOSA NINI...WAKA KUPA SHOW YA FIESTA...MWISHO WA SIKU UKA PERFORM UTUMBO ... NIDHAMU SIO SHULENI TU HATA KWENYE YAKO..KAMA UNAPENDA KAZI YAKO NIDHAMU NA HESHIMA NDIO NGUZO YAKU KUFIKISHA UNAPOTAKA...SASA KWA SABABU UNA TABIA MBOVU MARA UTUKANE WATA NGAZAJI UKIINGIA KWENYE INTERVIEW FUJO TUPU..KWA USHAURI WANGU ASI KUDANGANYE MTU ETI JIPANGEE UPYA UTA TOBOA..HUTOBOI TENA NDIO ILISHA KWENDA IVO NA MAJI...MUOMBE SANA MUNGU WAKO UPATE ZALI LA KWENDA BIG BROTHER AFRICA UBADILISHE MAISHA YAKO...KAMA UTASHINDA...ILA MUZIKI KUSHINEI MA MEN...!!!!
  • Shepherdizo Ziggy Bznex Tarimo Sr. We tid ni kyuma mi naona hata kipindi umepelekwa jela wali kufira ww.
    about an hour ago via mobile · Like · 1
  • Muddy Gosto Lino Mnyamaaaa umechemkaa
  • Paul Mihayo Sadati Lyimo Unatudhalilisha hasa wanaume wenzio, kuwa na msimamo ww.. Acha kujishaua na kulamba lips, au unajitafutia umaharufu
  • Damian Joseph Mogos Haha nadhani kule jela ule mwaka mmoja walikufira wewe..mambo yako yamekaa kishoga shoga.
    about an hour ago via mobile · Like · 1
  • Muddy Gosto Lino Tunakupa last chance tuombe ladhi mafans wako tumesha kuona ktk gyngo za miaka13 leo unazinguwa usipoenda kufanya show ya dada badili jina la mnyamaa na kino hama kumaaaa weee
    about an hour ago via mobile · Like · 3
  • Ney Wa Mlacky Hivi baba na mama wakigombana, kisha mama akapika chakula watoto watakataa kula kisa ugomvi wa wazazi?napata shida kidogo kuamini kama ulichoandika ni sahihi, mie ni fansi wako ila kwa hili umenipoteza brother!
  • Sammy Mavision Poor argument & illogical . He's acting in favour of the xo called THE PEOPLE STATION....
    about an hour ago via mobile · Like · 1
  • Segga Segenya Idrissa tidi u lost men,wat d f u xayin 2 us,uoga na umasikini wako ndio chanzo co kuoa m2 wangu,huna jipya,sina mpango na ww tena kumbe bogus kama ma bogus wengne
    about an hour ago via mobile · Like · 2
  • Sammy Mavision Et he has better contract tht pays him much!! Huyu nae nimsanii, show na contract wap na wap, huku ni kuishiwa hawa ndio makasuku ambao wanaoirudisha music industry nyuma. Kama yy ana better music contract na Diamond nae asemaje. 

    After ol muzik wako wa kawaida xana! Huna jipya kama akili yako ilivyo shame on yuh.
    57 minutes ago via mobile · Edited · Like · 2
  • Rashid Shaibu fala wewe' mwanaume kuwa na msimamo
    58 minutes ago via mobile · Like · 1
  • Nkenni Agather Msolla mmh kazi ipo hapa..
    57 minutes ago via mobile · Like · 1
  • Malik Afif Mnyama umekosea.
  • Malaika Gabriel stupid kabisa.... hivi nani atakuja show yako sasa... na siku hiyo ya show ya JIDE itafika, na tutakua pamoja na yeye mwanzo mwisho.... eti mnyama... mnyama wa kichina!!!
  • Stanley Jimmy Mnyama au kindezi? Maza faza.
    54 minutes ago via mobile · Like · 2
  • Brighty Charlz Haoo wanaojifanya wanakupenda na kukupangia show za kufanya wameshindwa kukupa thaman yako cammon broe acha hyo mambo amka aiseee sidhan km hao jamaa wana nia ya dhat na ww kw kuw wapo wengi waliofanya show chin ya kivuli chao leoooo hii wako wap! Wako tayari kukupa mamilion ilii usifanye hii show ila siamin baada ya hii show wanaweza kuw na wew na kukupa show zitakazofanana na malipo ambayo umelipwa ili usiende show ! Uoga wako ndio umaskin wako ninaamin kwa huu uamuz ambao umechukua siku ukishtuka na kuomba support kw fanz wako km mim hakika hautapata saport yang kw kuw huu ndio ulikuw wakat wa kuwaangusha mabedhuri wa huu mzik wetu wa bongo . T.I.D wake up broe 
    53 minutes ago via mobile · Like · 1
  • Danika DanDaniel cwez amin km kwel wasanii wote waliogombana na uongoz wa clouds fm wako ron' ili nnacho amin ni kwamba ruge kesha jiona mungu m2 kua anaeza mnyima msanii kuingia ktk ufalme wake wa clouds, nakwakua wasanii weng wanaujinga kwa minds zao..........! kaz kucngizia wahindi tu ilhal wamefungwa macho na wanae mjua.......mafanikio ya m2 bnafc yanaonekana kwake yy mwenyew ila kwa mnaozombwa 2namwona uyo mungu wenu ruge mnaemnyenyekea........! vle vle naamin hakuna kama Mungu na ninaamin kua jay d kesha tengenezewa mazngira yaubaya adi kwa wanasiasa ila atajaliwa tu akmwamin alye juu,.....Mungu mbariki jay d, namzk wake.....
  • Stephen Beda Martin Slave ''music'' trade...
    The next thing,they(clouds media) will tell you when and when not to sleep with your wife-to-be!
    I'm sorry if it sounds rude(but honest)
    #R.I.P Bongo Music
    36 minutes ago · Like · 2
  • Jackson Gaso Hivi nawewe TID ni msanii aisee nishakusahau.anyway next time act like a man maana naona waweza kuolewa kabisa wewe kigeugeu mwanaume wa ukweli anaheshimu maamuzi yake sio kigeugeu mtakuja kuolewa
    35 minutes ago via mobile · Like · 2
  • Rais Wa Marais Tz kuna BAMIA moja linaitwa rein ahmed rein kaniibox eti nistop kumchana TID so naanza na hivi REIN AHMED RAIN NA FUNZA TID nyote wasenge...MWANAUME HATEREREKI AKITETEREKA UJUE FEKI. TID we ni feki.....umetoa sababu ya eti huna harusi mi naisi TID UNAOLEWA NA RUGE.
    35 minutes ago · Like · 6
  • Abdul Karim Adam Those are lame excuse to come from you TID. Excuse yourself for a better reason NOT getting rid of you friends. It means that quids (Money) comes first before you friends and that you don't want to be involved in the purportedly conflicts between the two, It means that you already know the truth and afraid to be associated with JIDE (cowardice of the highest order). and lastly getting married. Why now?!! when you needed most you bring the marriage thing. remember a friend in need is a friend in deed. you have your way of getting things but you should always know that no man is an island. Leo ni JIDE Kesho .................... Tafakali
    34 minutes ago · Like · 1
  • Vedastus Msirikale Huu ni mtizamo wako wa leo,na kesho je?
  • Peter Msafiri Daah!kweli mfadhili mbuzi utamla mchuzi.hv we ndo wa kwnz kuoa?je ukipatwa na matatzo wiki au siku 1 kabla ya ndoa yako utamlaumu nani?
    Hzo contract zako ndo zimekuja ktk kipindi hiki cha show ya dada na sio wakati wote huo?we sio mnyama tena lbd mnyimi mchoyo mbinafsi.

    Go and suck the feet of ur bosses asshole fuck u.
    30 minutes ago via mobile · Like · 2
  • Damian Joseph Mogos Hpo cku watakwambia ukilala na mkeo ucku mpe matako akutie vidole utakubali wewe...janaume zima kigeugeu
  • Ney Nathaniel yaani hata mngemuacha JUDITH peke yake...wote wamkimbie ATABAKI KUWA YEYE TUU...jide ni jide tuuu...hata mngemuacha wasanii wote...NA utaumbuka na unafiki wako!!!!hata akifanya show peke ake watu watajaa kama kawa...chezea ANACONDA NINI....hahahaha kashajikabidhi mikononi mwa MUNGU na kila kitu kitaenda sawa tuu....
    27 minutes ago · Like · 3
  • Amon Ajamte Jason Hakuna sababu ya msingi uliyoitoa..inadhihirisha nawew ni mwoga.
  • Nuruely Wa Kaskazini VivaConscious ww chupi k....mako, mnyama umeliwaaaa na RUGE............Ahahhahahaha
    22 minutes ago · Like · 3
  • Pharomeo Rutabazibwa Personally, I do not understand, where are we heading, yani simply because some crackhead has some conflicts with Jide, then everybody is running away from Lady Jay Dee? Jamani tuonee huruma muziki wetu wa Tanzania, is this what we call tupende made in Tanzania? kweli tusipoangalia hii nchi yetu itazikwa, itazidi kurudi nyuma kwa upumbavu wetu na ujinga usio na mwelekeo,
    16 minutes ago · Like · 1
  • John Jr Mbamba Dah et mnyama shame on you ass hole kwanzia leo ww sio mnyama ww ni ngedere iyo ndowa unaolewa na ruge choko
    16 minutes ago via mobile · Like · 1
  • Mamaloshi Kabura Ili timbilitimbi ndio linaonyesha kuwa watu ni waoga Jide uko juuuuu@ hata wakikimbia utabaki kuwa komandoooooo
    16 minutes ago via mobile · Like · 2
  • Pharomeo Rutabazibwa hypocriticism. Lady Jaydee anaonewa wivu kwa sababu ya maendeleo yake, sawa tu, Mwenyewezi Mungu atamlipia, yeye si ndio anagawa riziki bwana, sawa tu....
  • Msike Corner t.d. wewe ni mbuzi wa kafala kweli
  • Pharomeo Rutabazibwa Mamaloshi Kabura, tena ndio anazidi kupata sifa na kuheshimika kila kona, walifikiri atakaa kimya, kama ametendewa ubaya kwa hila, lazima aseme kwa sababu this is a democratic country bwana, he! na kujitoa kwa wasanii wenye uelewa finyu kama hawa ndio kunazidi kudhihirisha kwamba kuna njama za hali ya juu na umwagaji wa fedha nyingi kupotosha na kumharibi Judith Wambura, big up mama, utayamaliza tuu haya
  • Frank 'Tuso' Francis ukoloni mambo leo,
    12 minutes ago via mobile · Like · 1
  • Obyjr Byeyombo Obyemarila Jide please mpeleke nahakamani.huyu mbulula after a show wala usijibizane.nae, dai chako na fidia waume zake watamsimamia.
    11 minutes ago via mobile · Like · 1
  • Pharomeo Rutabazibwa na nasikia wamefungua kesi ya jinai kinondoni ya cyber crime kwamba eti amewadhalilisha na kuwatukana, mshindwe, hata hao wanasheria wanaosimamia hiyo kesi sijui ndio tuseme wanataka kuwalia hela zao ama vipi, lakini, kwa taarifa zenu, THERE IS NO CASE TO ANSWER BECAUSE THERE IS NO OF FENCE WHICH HAS BEEN COMMITED BY LADY JD, she was merely exercising her constitutional right to air her views to the world ....
    10 minutes ago · Like · 1
  • Nuruely Wa Kaskazini VivaConscious MWANAUME HATEREREKI AKITETEREKA UJUE FEKI. TID we ni feki.....umetoa sababu ya eti huna harusi mi naisi TID UNAOLEWA NA RUGE.
  • Focus Ngajimala Congrat wise man TID. Safi xana TOP IN DAR. Kwa kuliona hilo unajua huyu Dada Anataka kuwagombanisha na kuwaalibia maisha then yeye Aendelee kula gud life. Huyu dada ni kibaraka wa CLOUSE MEDIA ukitaka kujua back 2her Historical background. So take care My braza.
  • Kuzenza Emmanuel Magoro Kwanin ulikubali mwanzo kama ulijua ulijua una contract bora zaid ya hiyo huo ni unafiki na kutojiamin. Jiamin kama mwanaume
    8 minutes ago via mobile · Like · 1
  • Andrew Mlenga ndio maana huwa siipendi bongo flava nini anaongea huyu bora ungenyamaza
    8 minutes ago via mobile · Like · 1
  • Nuruely Wa Kaskazini VivaConscious na wewe chupi ujielewi k....zako nyie na TID@FOCUS NGAJIMALA
    8 minutes ago · Like · 1
  • Pharomeo Rutabazibwa this displays a poor understanding of contractual commitments and their legal implications
  • Beatus Richards Rugarabamu huyu jamaa ni choko sana..huwez kuwa mwanaume kwa style ya maisha hayo.
  • Ben 'Voker' Aloyce Wewe tid ni bonge la K mnyamw gani wewe...nlikuwa nakukubali mazee nw nakuona kapuku tu unapelekwa pekekwa pelekwa we contract gani ?eti inakulipa vizuriii?...msenge wewe na utabaki kula ungaaa tu wewe na maendeleo yako ya ki K K yaaani wewe unapigwa mkwara na unajaaaa? Waziri TheKop Mussa Suarez Denzel Salum Mpenda De Sasesa Jr. Fley Andres Sanchez
    5 minutes ago via mobile · Like · 3
  • John Jr Mbamba Focus acha uchoko au unatafuta bwana?? Sema uolewe coz it seemz unaelement ya uchoko
    4 minutes ago via mobile · Like · 2
  • Kiwango Emmanuel HUJIAMIN.....
  • Daniel Manupa T.I.D ulichokifanya si cha kiungwana, sasa ulikua unauzaje sura luningani kuwa utakuwepo kwenye show inamaana ulikua haujakubaliana na malipo ya show, na kuhusu conflicts umeambiwa usishiriki na Jide na hao kina Ruge kwa kuwa wewe unataka kuchezewa nyi...See More
    4 minutes ago · Like · 2
  • Mponboy Bukul Saimon T.I.D means top in Dar-es-salaam unafikiri JIDE ataenda jela kama wewe? it is time to unite brother today is her and tommorrow is you
  • Masoud Omar mnatishwa mnaogopa acheni nidhamu za uoga mabwege nyiemnakaa mnabana pua ooh mie nataka kuowa au kuolewa pumbavu yako
  • Beatus Richards Rugarabamu ukisoma alichokiandika utagundua huyu jamaa ni fala sana alafu bado anapata ujasiri wa kisenge kuandika hayo madudu hapo juu...hata ukiangalia interview zake za hivi karibuni utagundua huyu jamaa ni mkundu sana kazi kucheka cheka ni kujiongolesha maneno ya kina dada.BE A MAN WW FALA TID
    2 minutes ago · Like · 2
  • Focus Ngajimala MNYAMA THE KING OF BONGO FLAVA. Just leave those are mindless" those are snitch bitch mother fucker.... Fanya yako bhana........ I appreciate you.

Posted by Unknown on 5:00 AM. Filed under , , , . You can follow any responses to this entry through the RSS 2.0. Feel free to leave a response

0 comments for "Hivi ndivyo TID (TOP BAND) alivyoshambuliwa na watu Facebook baada kujitoa Show ya Lady Jay Dee "

Leave a reply